Matangazo ya Usharika tarehe 4 Septemba 2023

MATANGAZO YA USHARIKA 

 LEO TAREHE 03 SEPTEMBA, 2023

SIKU YA BWANA YA 13 BAADA YA UTATU

NENO LINALOTUONGOZA  NI

JIRANI WETU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia kwa cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 27/08/2023

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT