Ufunuo wa Yohana 14:4-7 (Revelations)
13-11-2021
Tunakumbushwa kumcha BWANA,  maana saa ya hukumu inakuja. We are reminded to fear the Lord, for the hour of judgment is coming. /Heri Buberwa.
Mithali 10:7-9 (Proverbs)
12-11-2021
Haki huleta baraka, bali jina la mtu mwovu huoza. Righteousness brings blessings, but the name of the wicked one will rot! /Heri Buberwa.
Ufunuo wa Yohana 17:12-14
11-11-2021
Yesu pekee ndiye mtawala wa milele. /Heri Buberwa
1 Wathesalonike 4:13-17 (Thessalonians)
10-11-2021
Kufa katika Kristo kunakupa uenyeji wa Mbinguni. Dying in Christ, will assure your place in Heaven. /Heri Buberwa.
Waebrania 12:1-3
09-11-2021
Tudumu katika misingi wa imani. /Heri Buberwa.
Ufunuo wa Yohana 22:1-5 (Revelations)
08-11-2021
Uenyeji wa Mbinguni. Citizenship of Heaven. /Heri Buberwa.
Ayubu 22:21-22
06-11-2021
Ukomavu wa imani yetu, unategemea neno la Mungu katika Maisha yetu.
Mathayo 21:12-17 (Matthew)
05-11-2021
Kanisa kuwa nyumba ya sala ni maelekezo kwetu  kuishi kwa neno la Mungu. The Church being a house of prayer is a guide for us to live by God's word. /Heri Buberwa.
Luka 8:16-18
04-11-2021
Nuru yetu na iwaangazie wengine. /Heri Buberwa
Mathayo 11:11-15
03-11-2021
Ufalme wa Mungu utatekwa na wenye nguvu. The kingdom of God will be taken by the powerful. /Heri Buberwa.

Pages