Group Articles

Uzinduzi wa Albam ya 2 ya kwaya ya Upendo iitwayo "Tembea Nuruni" uliofanyika Jumapili tarehe 3 May 2015 usharikani Azaniafront.
Jumapili Ya Tarehe 29/3/2015, Kwaya Ya Upendo Ilifanya Maandalizi Ya Kuzindua Albam Yao Mpya Kwa Kuchangisha Washarika Wa Kanisa Kuu Azaniafront Katika Ibada Ya Sikukuu Ya Mitende
Kikao Cha Kwanza Mwaka 2015 Cha Kwaya Ya Upendo Cha Mipango Na Kutambulisha Uongozi Mpya Kwa Walezi Tarehe 15 Machi 2015
Jumapili tarehe 19/10/2014, Kwaya ya upendo ilifanya ziara ya kumtembelea Chaplain Mzinga nyumbani kwake, kumjulia hali baada ya kurejea toka safari ya matibabu India.