“Tuwalee Watoto Katika Njia Ya Bwana," hayo ni maneno ya kutoka katika Biblia yaliyotumika katika mahubiri yaliyofanyika katika ibada ya Sikukuu ya
![](http://www.azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/WhatsApp%20Image%202023-09-29%20at%2007.12.05.jpeg?itok=AOqD5bXR)
Our delegation in Frondenberg & Bauhasen congregations in Germany.
![](http://www.azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/WhatsApp%20Image%202023-09-17%20at%2015.49.23%20%282%29.jpeg?itok=KZ9Uk4WA)
Jumapili ya tarehe 17 Septemba 2023, Mchungaji Kiongozi wa Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral, Chaplain Charles Mzinga aliongoza ujumbe
![](http://www.azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/Title%20-%20Siku%20ya%20Vijana-01_0.jpg?itok=p5FuasgX)
Siku ya Jumapili tarehe 16 Julai 2023 ilikuwa ni siku ya Vijana katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral, siku ambayo huadhimishwa kila
![](http://www.azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/WhatsApp%20Image%202023-06-16%20at%2013.33.40%20%281%29.jpeg?itok=u1ULf_jK)
Tarehe 14-15/06/2023 ilifanyika kambi ya watoto wa Shule ya Jumapili au Sunday School katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral, ambapo
![](http://www.azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/Title%20-%20Kambi%20ya%20Watoto-01_0.png?itok=KyJXMklC)
Uongozi wa usharika unapenda kuwatangazia wazazi wa watoto wa shule ya jumapili kuwa tarehe 14-15/06/2023 kutakuwa na kambi ya watoto hapa usharika
![](http://www.azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/AG2.jpeg?itok=f3PVuVXd)
Hivi karibuni Kwaya ya Agape inayohudumu katika ibada ya Kiswahili kila Jumapili saa moja asubuhi katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathed
![](http://www.azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/P1.jpg?itok=ApzSXCvh)
Usharika wa KKKT Kanisa Kuu Azania Front Cathedral tarehe 9 Aprili 2023 ulijumuika na wakristo wote ulimwenguni kusherehekea sikukuu ya Pasaka.
![](http://www.azaniafront.org/sites/default/files/styles/frontnews/public/IK14B.jpg?itok=FGmQjA63)
Katika ibada ya Ijumaa Kuu iliyofanyika katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral, 7 Aprili 2023 na kuongozwa na Baba Askofu wa Dayosisi
Katika ibada ya Alhamisi Kuu iliyofanyika katika Usharika wa Kanisa Kuu Azania Front Cathedral, 6 Aprili 2023 na kuongozwa na Baba Askofu wa Dayosi