Matangazo ya usharika tarehe 1 Febuari 2026
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 01 FEBRUARI, 2026
SIKU YA BWANA YA MWISHO KATIKA MAJIRA YA UFUNUO
NENO LINALOTUONGOZA NI
NEEMA YA MUNGU YATOSHA
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.
3. Matoleo ya Tarehe 25/01/2026
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.
NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:
- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT
