Matangazo ya Usharika tarehe 15 Febuari 2026

DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

MATANGAZO YA USHARIKA

TAREHE 15 FEBRUARI, 2026

SIKU YA BWANA YA 7 KABLA YA PASAKA

NENO LINALOTUONGOZA NI

YESU AIENDEA NJIA YA MATESO YERUSALEMU

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.

2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti.

3. Matoleo ya Tarehe 08/02/2026

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

- 0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT