Matangazo ya Usharika tarehe 14 Septemba 2025
DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI
MATANGAZO YA USHARIKA
TAREHE 14 SEPTEMBA, 2025
SIKU YA BWANA YA 13 BAADA YA UTATU
NENO LINALOTUONGOZA NI
MTENDEE MEMA JIRANI YAKO
1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli.
2. Wageni: Hakuna mgeni aliyetufikia na cheti. Kama kuna wageni ambao ni mara yao ya kwanza kushiriki nasi wasimame ili tuwakaribishe.
3. Matoleo ya Tarehe 07/09/2025
Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.