Matangazo ya Usharika tarehe 19 Mei 2024

MATANGAZO YA USHARIKA 

LEO TAREHE 19 MEI, 2024

SIKU YA KUKUMBUKA KUSHUKA KWA ROHO MTAKATIFU

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

 ROHO MTAKATIFU NGUVU YETU 

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia kwa cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 12/05/2024

4. Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

Matangazo ya Usharika tarehe 5 Mei 2024

MATANGAZO YA USHARIKA 

TAREHE 05 MEI, 2024

SIKU YA BWANA YA 5 BAADA YA PASAKA

NENO LINALOTUONGOZA SIKU YA LEO NI

OMBENI NANYI MTAPATA 

1. Tunawakaribisha wote tumwabudu Mungu wetu katika Roho na kweli. 

2. Wageni: Hakuna Mgeni aliyetufikia kwa cheti. 

3. Matoleo ya Tarehe 28/04/2024

Tunamshukuru Mungu aliyetupa afya ya kumwabudu na utayari wa kumtolea kwa hiari mali alizotupa kwa kazi yake.

NAMBA YA SADAKA KWA NJIA YA MTANDAO:

0757 391174 - KKKT AZANIA FRONT